News
Loading...

PICHA 35: ARSENAL YAMPASUA MTU MIGUU YA BAJAJI 3-1




Huko Emirates, Wenyeji Arsenal walitoka nyuma kwa Bao 1-0 na kuifunga Stoke Bao 3-1 na kuishika Chelsea kileleni mwa EPL wote wakiwa na Pointi 34 lakini Arsenal wako juu kwa Ubora wa Magoli.
Arsenal walilazimika kumuingiza Hector Bellerin Dakika ya 25 kumbadili Mustafi alieumia.
Stoke walifunga Bao lao kwa Penati ya Kepteni wao Charlie Adam iliyotolewa na Refa Lee Mason kufuatia Granit Xhaka kumpiga Kipepsi Joe Allen bila kupewa Kadi yeyote mbali ya kutolewa hiyo Penati.
Theo Walcott aliirudisha Arsenal kwenye Gemu kufuatia Bao lake safi la Dakika ya 42 alipounganisha Pasi ya Bellerin.
Hadi Haftaimu Arsenal 1 Stoke 1.EPL-DES10B
Kipindi cha Pili Arsenal walifunga Bao 2 nyingine kwenye Dakika za 49 na 75 Wafungaji wakiwa Mesut Ozil na Iwobi.
VIKOSI:
Arsenal: Cech, Gabriel, Mustafi [BellerĂ­n 25'], Koscielny, Monreal, Xhaka, Coquelin, Walcott, Ozil, Oxlade-Chamberlain, Sanchez.
Akiba: Gibbs, Lucas Perez, Giroud, Ospina, Iwobi, Bellerin, Elneny.
Stoke City: Grant, Johnson, Muniesa, Martins Indi, Pieters, Allen, Imbula, Shaqiri, Adam, Arnautovic, Diouf.
Akiba: Whelan, Bony, Given, Crouch, Krkic, Sobhi, Ngoy.
REFA: Lee Mason































Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments :

Post a Comment