News
Loading...

BONDIA AFARIKI DUNIA KATIKA PAMBANO LAKE LA KWANZA KWA NGUMI KALI MOJA TU!!

Kuba Moczyk alifariki alipopigwa na kuanguka katika pigano lake la kwanza


Kuba Moczyk alifariki alipopigwa na kuanguka katika pigano lake la kwanza

Bondia mmoja aliyepata jeraha la kichwa katika pigano lake la kwanza amefariki.
Kuba Moczyk mwenye umri wa miaka 22 alipigwa knockout katika raundi ya tatu katika pigano la siku ya Jumamosi katika ukumbi wa Towe Complex huko Yarmouth.
Familia yake imesema kuwa alifariki siku ya Jumatano usiku katika hospitali ya James Paget huko Gorleston,ambapo amekuwa bila fahamu na kwamba amekuwa akisaidiwa na mashine.
Mkufunzi wake Scott Osinski amesema siku ya Jumatano kwamba bwana Moczyk alikuwa anaelekea kupata ushindi kabla ya kupigwa konde hilo lililomuangusha.
Mpinzani wake alikuwa na umri wa miaka 17.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments :

Post a Comment