News
Loading...

SAMATTA AISAIDIA GENK KUVUKA HATUA YA MTOANO UROPA

Mbwana Samatta jana ameivusha KRC Genk hatua ya mtoano michuano ya Europa League  

Huo unakuwa mchezo wa 34 kwa Samatta tangu amejiunga na Genk Januari mwaka huu kutoka TP Mazembe ya DRC, 18 msimu uliopita na 14 msimu huu, akifunga mabao nane, matatu msimu huu na matano msimu uliopita.
Katika mechi hizo, ni 17 tu ndiyo alianza, 10 msimu uliopita na tano msimu huu, wakati 16 alitokea benchi nane msimu uliopita na 13 msimu huu – na mechi 10 hakumaliza akitolewa, sita msimu uliopita na nne msimu huu.
Kikosi cha KRC Genk jana kilikuwa: Bizot, Castagne, Brabec, Colley, Nastic, Ndidi, Pozuelo, Susic/Heynen dk77, Bailey, Buffalo/Trossard dk89 na Karelis/Samatta dk85.
Rapid Viena: Novota, Sonnleitner, Schösswendter, Dibon, Grahovac, Schaub/Jelic dk83, Schrammel, Traustason, Joelinton/Schobesberger dk62, Thurnwald/Kvilitaia dk72 na Wober.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments :

Post a Comment