
ARSENAL watajaribu kumsajiri Dimitri Payet katika dirisha dogo la Januari wakati timu yake ya Westham ikiendelea kupigania kuepuka kushuka daraja mkiani mwa Ligi Kuu ya England
habari hii kutoka chanzo cha kuaminika kinasema Arsenal wanataka kumsajil Payet ili wawe na kikosi kipana cha ubingwa na wachezaji ambao wana uwezo wa kuamua mechi ukizingatia kua kwa sasa timu hiyo imeshashika moto na inapata matokeo ya kuridhisha na imeachwa nyuma kwa point 3 tu na kinara anaeongoza ligi
0 comments :
Post a Comment