EVERTON na West Brom wanaandaa ofa ya pauni mil 20 kwa ajili ya kutaka kumsajili kiungo wa Manchester United, Morgan Schneiderlin ambaye amepoteza nafasi Old Trafford na huenda akatimka Januari.
PAUNDI MIL20 ZATENGWA KUMNASA SCHNEIDERLIN
EVERTON na West Brom wanaandaa ofa ya pauni mil 20 kwa ajili ya kutaka kumsajili kiungo wa Manchester United, Morgan Schneiderlin ambaye amepoteza nafasi Old Trafford na huenda akatimka Januari.
0 comments :
Post a Comment