News
Loading...

ARSENAL YAONYESHA HESHIMA NA KUUTHAMINI UHURU WA TANZANIA KWA KU.......


Wakati Tanzania bara ikisherekea miaka 55 tangu ipate uhuru wake, klabu ya Arsenal inayocheza ligi kuu ya England imepost picha kwenye mtandao wa Facebook ya bendera ya Tanzania iliyoandikwa ‘Happy Independence Day Tanzania.’
Si jambo dogo kwa klabu kubwa kama Arsenal kuonesha kutambua siku hii muhimu ya kitaifa kwa Tanzania ambayo huadhimishwa kila mwaka, sherehe za maadhimisho ya Uhuru zimefanyika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam na kuongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. John Pombe Magufuli.


Arsenal pia inamashabiki wengi nchini na huenda taarifa hii ikawa njema zaidi kwao kwa kuona ni namna gani klabu wanayoipenda imeguswa na tukio muhimu katika taifa lao.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments :

Post a Comment