News
Loading...

SIMBA YADHAMIRIA YATAKA KUSHUSHA GOLIKIPA WA HATARI!!

AA

Simba imeonyesha imenuia kujiimarisha na kunja taarifa imeanza mazungumzo na kipa Daniel Agyei.

Agyei ni kipa namba moja wa kikosi cha Medeama ya Ghana na Simba inataka aongeze nguvu katika kikosi chake.

"Ndiye anaonekana kuwa chaguo sahihi, kazi yake ilionekana akiwa kwenye Kombe la Shirikisho," kilieleza chanzo.


Kocha Joseph Omog alipendekeza kuongezwa kwa kipa mmoja ili ‘kumbusti’ Vicent Angban.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments :

Post a Comment