News
Loading...

Diamond Platnumz, Ommy Dimpoz wapigana vijembe live

Lile bifu la chini kwa chini kati ya waliokuwa maswahiba wawili Diamond Platnumz na Ommy Dimpoz limeingia katika level nyingine, yaani sasa ni mubashara kuwa beef lipo.
Haya yamejidhihirisha masaa machache yaliyopita kupitia kurasa zao za mtandao wa Instagram baada ya Diamond Platnumz picha kutoka katika Video ya wimbo mpya wa Rich Mavoko unaoitwa Kokoro na kuandika maneno ambayo yametafsiriwa kama ni dongo kwenda kwa Ommy Dimpoz
diamond
Kama ilivyotafiriwa na wengi kuwa hilo ni dongo kwa Ommy Dimpoz, Dimpoz hakukaa kimya alijibu kwa kuweka video akiwa na swahiba wake wa sasa Ali kiba na kushusha ujumbe mzito.
ommydimpoz

Ikumbukwe pia Diamond Platnumz na Ommy Dimpoz wamekataa mara nyingi kuwa hawana bifu lakini kwa hili la leo… The beef is ON.

Share story hii na Unaowajali:

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments :

Post a Comment