News
Loading...

WAPENZI WA SOKA ULIMWENGUNI WAMLILIA HOWARD WEBB SOMA ZAIDI HAPA!!


Howard Webb amestaafu baada ya kufanya kazi ya uamuzi kwa miaka 25, sasa.
                              SOMA ZAIDI HAPA

Sasa anachukua nafasi ya Mkurugenzi wa Ufundi kwa ajili ya mechi za Ligi za Kulipwa (PGMOL).
Webb amechezesha mechi zaidi ya 500 za Ligi Kuu England.
Pia ana rekodi ya kuwa mwamuzi wa kwanza kuchezesha fainali ya Kombe la Dunia na Ligi ya Mabingwa Ulaya katika mwaka mmoja, hiyo ilikuwa 2010.


Moja ya majukumu ya Webb ,43, itakuwa ni kufuatilia na kuongeza kiwango cha waamuzi wa PGMOL.

Lakini sasa ataonekana zaidi kwenye vyombo vya habari katika vipindi mbalimbali hasa Sky Sports, BT na BBC kupitia kipindi cha Match of The Day ambako atakuwa akitoa ushauri kuhusiana na kuboresha viwango vya uchezeshaji kwa wamuzi.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments :

Post a Comment