News
Loading...

PEPE REAINA AWAANDIKIA BARUA MASHABIKI WA LIVERPOOL


Kipa Pepe Reina aliyetua Bayern Munich amewaandikia barua mashabiki wa Liverpool kuwaambia kuhusiana na kuondoka kwake, pia amewashukuru kwa kipindi walichofanya kazi pamoja.

Amewaeleza kote walikopita na sasa anaamini ulikuwa umefikia wakati wa kuondoka. Pia kawaeleza mengi na zaidi ni shukurani nyingi na namna maisha yake yalivyokuwa kwenye mji wa Liverpool akiwa pamoja na klabu hiyo.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments :

Post a Comment