Mbelgiji Divock
Origi ametua kwenye makao makuu ya klabu ya Liverpool, leo kwa ajili ya
kukamilisha masuala ya usajili.
Taarifa
zimesema wawili hao watakuwa na shughuli ya vipimo kesho na kama mambo yakienda
sawa watamwaga wino kukipiga Anfield.
![]() |
PICHA IKIMUONYESHA ORIGI ALIVYOTUA LEO NDANI YA LIVERPOOL |
Imeelezwa
Liverpool itatoa pauni milioni 19.8 kwa ajili ya uhamisho wa Markovic na pauni
milioni 10 zitalipwa kwa Lille ya Ufaransa anayokipiga Origi.
Origi
alionyesha uwezo mkubwa kwenye michuano ya Kombe la Dunia na timu yake iling’olewa
na Argentina katika hatua ya robo
0 comments :
Post a Comment