Mexico. Mchezaji wa Atletico Madrid, Fernando Torres amekwama kuondoka klabuni hapo kutokana na timu hiyo kutumikia adhabu ya kutosajili kwa msimu mwingine.
Hata hivyo, ilielezwa kwamba bado Torres ana mpango wa kutimka kwenda klabu ya Mexico Ya Cruz Azul msimu ujao wa kiangazi.
Mchezaji huyo amecheza timu nne za La Liga kati ya miaka sita aliyokuwapo kwenye Ligi hiyo ya Hispania.
0 comments :
Post a Comment