News
Loading...

TSHABALALA AJITITIA KITANZI SIMBA SC MPAKA JUNI 2018

Tshabalala wakati anasaini mkataba wa kwanza wa kujiunga na Simba mbele ya Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya klabu hiyo, Zacharia Hans Poppe (kulia)
Bado haijajulikana Simba SC imempa kiasi gani cha fedha Tshabalala kuongeza mkataba, lakini habari za ndani zinasema amesaini kwa Sh. Milioni 30.  
Tshabalala alisaini Simba SC Juni mwaka 2014 akitokea Kagera Sugar ya Misenyi mkoani Kagera, ambayo nayo ilimtoa Azam FC.
Aliyefanikisha usajili wake kwa mara ya kwanza ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe aliyekigundua kipaji hicho.



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments :

Post a Comment