News
Loading...

GENK YA SAMATTA YAWA UROJO YAPASULIWA 6-0

sammatha
Unaweza kusema siku ya kufanya nyani, miti yote huteleza na ndicho kilichowatokea KRC Genk anayochezea Mtanzania, Mbwana Samatta.

Samatta ambaye alijiunga na timu hiyo akitokea TP Mazembe wakiwa mabingwa wa Afrika, alicheza kwa dakika 90.
Genk imepoteza mchezo wake wa Ligi Kuu ya Ubelgiji kwa kuchapwa mabao 6-0 dhidi ya Oostende.


Mechi hiyo ilionekana ya upande mmoja na hasa kipindi cha pili ambacho wenyeji walipata mabao yao manne baada ya kungoza 2-0 hadi mapumziko.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments :

Post a Comment