News
Loading...

PENALTI 3-2, ZAIPA INTER USHINDI WA MABAO 3-2 DHIDI YA MADRID

BALE AKIFUNGA BAO LA MADRID, LAKINI BAADAYE INTER MILAN WAKASAWAZISHA KATIKA MECHI HIYO YA MICHUANO YA INTERNATIONAL. MWISHO ZIKAPIGWA PENALTI NA INTER IKASHINDA KWA MABAO 3-2.
SASA INTER MILAN ITACHEZA NA MANCHESTER UNITED WAKATI MADRID INAKUTANA NA ROMA KATIKA MICHUANO HIYO INAOENDELEA NCHINI MAREKANI.
SOMA ZAIDI







Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments :

Post a Comment