News
Loading...

DEMBA BA ATUA ZAKE UTURUKI, AACHANA NA CHELSEA KWA PAUNI MILIONI 8

MSHAMBULIAJI DEMBA BA AMETUA BESIKTAS YA UTURUKI NA KUKABIDHIWA JEZI NAMBA TISA. BA RAIA WA SENEGAL AMEKABIDHIWA JEZI NAMBA 9 AMBAYO ATAKUWA ANATUMIKIA.
TIMU HIYO WAPINZANI WA GALATASARAY WAMELAZIMIKA KUTOA KITITA CHA PAUNI MILIONI 8 KUMNASA MSENEGALI HUYO KUTOKA KATIKA MIKONO YA JOSE MOURINHO.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments :

Post a Comment